Nenda kwa yaliyomo

Alama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alama asili katika mazingira inayodokeza na kuthibitisha uwepo wa mtu hivi karibuni.
Alama ya hatari ya kibiolojia haihusiani nayo kabisa.

Alama (kwa Kiingereza "sign"[1]) ni kitu, mchoro, maandishi, kifaa ambacho hutambulisha kitu kingine, tukio, sehemu n.k.

Baadhi yake ni asili, kwa mfano radi ya umeme na dalili za ugonjwa.[2]


Baadhi zimetungwa na binadamu, kwa mfano vituo katika maandishi na vitendo vya mikono wakati wa kuongea.[3]

Ishara za Zodiac za Magharibi
Ishara kwenye pwani huko Durban katika enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini inaonyesha pwani ya ubaguzi wa rangi.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. New Oxford American Dictionary
  2. "Roderick M. Chisholm "Sextus Empiricus and Modern Empiricism" Philosophy of Science, Jul., 1941, Vol. 8, No. 3 pp. 371-372". JSTOR 184308.
  3. Woo, B. Hoon (2013). "Augustine's Hermeneutics and Homiletics in De doctrina christiana". Journal of Christian Philosophy. 17: 103–106.
  4. "Roderick M. Chisholm "Sextus Empiricus and Modern Empiricism" Philosophy of Science, Jul., 1941, Vol. 8, No. 3 pp. 371-372". JSTOR 184308.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]