Apiano wa Comacchio
Mandhari
Appiano wa Comacchio (aliishi karne ya 9 hivi) alikuwa mmonaki huko Pavia, Italia, aliyepelekwa na abati wake kuishi kama mkaapweke huko Comacchio ili kuhakikisha chumvi kwa ajili ya monasteri.
Akiwa huko alifanya pia utume kwa wananchi[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 4 Machi[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |