Daraja jipya la Ruvu
Mandhari
Daraja jipya la Ruvu English: New Ruvu Bridge | |
---|---|
Yabeba | Barabara kuu ya A7 (leni 2) |
Yavuka | Mto Ruvu |
Mahali | Mkoa wa Pwani |
Mmiliki | Serikali ya Tanzania |
Mbunifu wa mradi | NORPLAN Tanzania |
Urefu | mita 135 |
Mjenzi | Chico (China) |
Gharama za ujenzi | TZS 44 bilioni |
Kilizinduliwa | Mei 2009 |
Badala ya | Daraja la Ruvu |
Anwani ya kijiografia | 6°41′26″S 38°41′40″E / 6.69056°S 38.69444°E |
Daraja jipya la Ruvu ni daraja linalovuka Mto Ruvu karibu na Mlandizi nchini Tanzania. Ni daraja muhimu kwenye njia ya barabara kuu A7 kati ya Dar es Salaam na Morogoro.
![]() |
Makala hii kuhusu daraja barani Afrika bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |