Nenda kwa yaliyomo

Dilan Deniz Gökçek

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dilan Deniz Gökçek İşcan (alizaliwa 1976) ni mwamuzi wa mpira wa miguu wa Uturuki na mwalimu wa michezo. [1] Ameorodheshwa kwenye orodha ya waamuzi wanawake wa FIFA tangu 2005.

Gökçek alipokea beji ya FIFA mnamo mwaka 2005. Mwaka 2013, alikua ni mmoja wa waamuzi wanawake wanne wa kimataifa nchini humo. [2] Mnamo 2012, Gölçek alichezesha mechi za raundi ya kwanza ya kufuzu kwa mashindano ya UEFA ya wanawake chini ya miaka 19 2013 mechi kati ya Austria dhidi ya Ugiriki na Italia dhidi ya Austria.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Referee Details – Dilan Deniz Gökçek". Türkiye Futbol Federasyonu. Iliwekwa mnamo 2013-10-12.
  2. "Turkey – Football Officials – Referees". FIFA. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Septemba 21, 2007. Iliwekwa mnamo 2013-10-12.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Dilan Deniz Gökçek kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.