Nenda kwa yaliyomo

Eustoki wa Tours

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Eustoki wa Tours (Auvergne - Tours, 461) alikuwa askofu wa 5 wa Tours katika Ufaransa wa leo baada ya Brisi kuanzia mwaka 444 hadi kifo chake[1].

Mtu mwenye moyo wa ibada, alikuwa kwanza mjumbe wa senati ya Roma kama wengine wa familia yake [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Septemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • T. S. M. Mommaerts and D. H. Kelley, The Anicii of Gaul and Rome, in Fifth-century Gaul: a Crisis of Identity?, ed. by John Drinkwater and Hugh Elton, (Cambridge University Press, Cambridge & New York, 1992), 120–121.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.