Nenda kwa yaliyomo

Faza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Faza ni kata ya kaunti ya Lamu, eneo bunge la Lamu Mashariki, mashariki mwa Kenya[1].

Historia[hariri | hariri chanzo]

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya kaskazini ya Kenya kwenye Bahari ya Hindi.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]