Flaviani wa Autun
Mandhari
Flaviani wa Autun (alizaliwa karne ya 5) alikuwa askofu wa mji huo, leo nchini Ufaransa, wakati wa mfalme Klovis I [1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[2].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Agosti[3].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/67300
- ↑ Giovanni Battista de Rossi na Louis Duchesne, Martyrologium Hieronymianum, Acta Sanctorum Novembris, II (1894), p. [109].
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- (Kilatini) De Sancto Flaviano episcopo Augustoduni in Gallia, in Acta Sanctorum Augusti, vol. IV, Parigi-Roma 1867, pp. 643-644
- (Kilatini) Denis de Sainte-Marthe, Gallia christiana, vol. IV, Parigi 1738, coll. 340-341 e 347
- (Kifaransa) Louis Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. II, Paris 1910, p. 178
- (Kiitalia) Jean Marilier, Flaviano, vescovo di Autun, santo, in «Bibliotheca Sanctorum», vol. V, col. 885
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |