Nenda kwa yaliyomo

Kate Austin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kate Austin (1864–1902)
Kate Austin (1864–1902)

Kate Cooper Austin (Julai 25, 1864Oktoba 28, 1902)[1] alikuwa mwandishi wa habari, mwanaharakati na mtetezi wa haki za wananawake nchini Marekani.

Catherine Cooper alizaliwa Julai 25, 1864 LaSalle County, Illinois. Austin alihamia na familia yake hadi Hook's Point, Iowa, alipokuwa na umri wa miaka sita.[2][3] Akiwa na umri wa miaka 11, Austin alifiwa na mama yake na ikabidi awalee kaka na dada zake saba.[4] Kwa sababu ya kuwa na maisha magumu, Austin alijifunza kusoma kwani ikawa moja ya burudani zake.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Nold, Carl (Juni–Julai 1934). "Kate Austin". Man!. Iliwekwa mnamo Januari 20, 2015.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "AUSTIN, Kate, American journalist.- An Anarchist Witness of the Haymarket Drama". Research on Anarchism. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Agosti 30, 2017. Iliwekwa mnamo Machi 25, 2006. {{cite web}}: More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "APINC - Association pour l'Internet Non Commercial - RIP 2001-2016". raforum.apinc.org. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 14 Februari 2006. Iliwekwa mnamo 29 Agosti 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. "Kate Austin". flag.blackened.net. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Machi 4, 2016. Iliwekwa mnamo Machi 8, 2017. {{cite web}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kate Austin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.