Nenda kwa yaliyomo

Maimuna Mtanda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Maimuna Salum Mtanda (alizaliwa Januari 9, 1986), ni mwanasiasa Mtanzania akihudumu kama Mbunge wa Chama cha Mapinduzi kwa Jimbo la Newala Vijijini tangu Novemba 2020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Wasifu Wa Wabunge". Bunge La Tanzania.