Nenda kwa yaliyomo

Mapango ya Amboni

Majiranukta: 05°00′S 39°03′E / 5.000°S 39.050°E / -5.000; 39.050
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

05°00′S 39°03′E / 5.000°S 39.050°E / -5.000; 39.050

Kwa ndani.

Mapango ya Amboni ni mapango makubwa ya chokaa katika Afrika Mashariki. Yanachukua nafasi ya km2 234.

Mapango hayo yako kaskazini kwa mji wa Tanga nchini Tanzania, kilomita 8 kwa njia ya barabara ya Tanga-Mombasa.

Mapango hayo yaliundwa karibu miaka milioni 150 iliyopita wakati wa Jurassic. Kulingana na watafiti eneo hilo lilikuwa chini ya maji miaka milioni 20 iliyopita.

Kuna mapango kumi lakini moja tu hutumiwa kwa ziara za kuongozwa.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mapango ya Amboni kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.