Mdukuzi
Mandhari
![](http://chped.net/https/upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/7a/HACKERS.jpg/305px-HACKERS.jpg)
Katika utarakilishi, mdukuzi (kutoka kitenzi kudukua; kwa Kiingereza: computer hacker) ni mtu anayetumia maarifa yake ya kiufundi ili kuvunja na kudukua mifumo ya tarakilishi.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
- https://en.m.wiktionary.org/wiki/mdukuzi