Morihei Ueshiba
Mandhari
![](http://chped.net/https/upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1d/Ue%C5%A1iba_Morih%C4%97jus_%281938%29.jpg/220px-Ue%C5%A1iba_Morih%C4%97jus_%281938%29.jpg)
Morihei Ueshiba (14 Desemba 1883 – 26 Aprili 1969) [1] anajulikana zaidi kama mgunduzi wa mchezo wa mapigano wa kujihami wa Aikido [2] uliokuwa ukijulikana mwanzo kama Aikibudo ama Aikinomichi
Alizaliwa katika kijiji cha Nishinotani nchini Japani akiwa ni mtoto pekee wa kiume katika familia ya watoto wanne ya Yoroku Ueshiba.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Aikido History". aikidohistory.com. Iliwekwa mnamo 2020-02-26.
- ↑ "Aikido". Meikyokai Aikido (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2020-02-26.