Papa Sixtus V
Mandhari
![](http://chped.net/https/upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/8f/%28Albi%29_Cath%C3%A9drale_Sainte-C%C3%A9cile_-_Tr%C3%A8sor_-_Portrait_du_pape_Sixte_V_-_PalissyIM81001477.jpg/220px-%28Albi%29_Cath%C3%A9drale_Sainte-C%C3%A9cile_-_Tr%C3%A8sor_-_Portrait_du_pape_Sixte_V_-_PalissyIM81001477.jpg)
Papa Sixtus V, O.F.M.Conv. (13 Desemba 1521 – 27 Agosti 1590) alikuwa Papa kuanzia tarehe 24 Aprili/1 Mei 1585 hadi kifo chake[1]. Alitokea Grottammare, Ascoli Piceno, Italia[2].
Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Felice Peretti.
Alimfuata Papa Gregori XIII akafuatwa na Papa Urbano VII.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Sixtus V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |