Yaren
Mandhari
![](http://chped.net/https/upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/01/Yaren_in_Nauru.svg/220px-Yaren_in_Nauru.svg.png)
Yaren (zamani iliitwa pia "Makwa") ni tarafa kwenye nchi ya kisiwani cha Nauru yenye nafasi ya mji mkuu. Eneo lake ni 1.5 km² kuna wakazi 1,100 (2003).
Kisheria hakuna mji mkuu nchini Nauru lakini karibu majengo yote ya serikali pamoja na bunge yapo Yaren.
Picha za Yaren[hariri | hariri chanzo]
-
Geti ya Bunge la Nauru
-
Bunge la Nauru mjini Yaren
-
Ikulu ya serikali ya Nauru