Nenda kwa yaliyomo

Zhan Beleniuk

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Beleniuk akiwa na medali yake ya dhahabu katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 2020
Beleniuk akiwa na medali yake ya dhahabu katika Olimpiki ya Majira ya joto ya 2020

Zhan Vensanovych Beleniuk (kwa Kiukraina: Жан Венсанович Беленюк; pia kwa tafsiri nyingine Jean Vensanovitch Beleniouk; alizaliwa Kyiv, 24 Januari 1991) ni mtu wa Ukraina anayeshiriki michezo ya mieleka na pia ni mwanasiasa, ni mbunge Mweusi wa kwanza katika Bunge la Ukraina.[1][2]

Maisha ya Nyuma[hariri | hariri chanzo]

Mama yake ni kutoka nchini Ukraina na baba yake alikuwa rubani kutoka nchini Rwanda aliyekuwa anasoma Kyiv katika chuo kikuu cha taifa cha urubani na alifariki katika vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Rwanda.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Чи пройшла Україна «тест Чепурного», реагуючи на першого темношкірого кандидата у депутати Жана Беленюка". Радіо Свобода (kwa Kiukraini). Iliwekwa mnamo 2021-11-27.
  2. "Монобільшість Зе, бюджетні гроші для Шарія та перший темношкірий депутат. 7 «вперше» виборів у Раду | Громадське телебачення". hromadske.ua (kwa Kiukraini). Iliwekwa mnamo 2021-11-27.
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Zhan Beleniuk kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.